Monday, January 28, 2013

Kutoka Baraza Kuu la CHADEMA - Diamond Jubilee Hall

Gesi isiondoke mpaka serikali iiweke wazi mikataba yote kwa wananchi!
- Serikali iende ikae na wananchi na kuwasikiliza ili waridhiane. Kila kitu kisitishwe kwa sasa hadi maridhiano yawepo
- Kinana ni mmojawapo wa Wakurugenzi wa ARTUMAS, imebainika Kinana na CCM wananufaika na mikataba hii
- Wawekezaji wanakaribishwa lakini wawe makini na mikataba ya kifisadi

No comments:

Post a Comment