Thursday, December 13, 2012

AL SHABAB WASHINDWA KIJESHI



Rais mpya wa Somalia, Hassan Sheikh Mohamud, anasema kundi la wanamgambo wa Al Shabab limeshindwa kijeshi.
Serikali ya Somalia imekuwa ikiimarisha utawala wake, na kudhibiti nchi hiyo ikisaidiwa na wanajeshi wa Umoja wa Afrika. Kabla ya sasa, Somalia ilikuwa haijawa na serikali rasmi kwa zaidi ya miaka 20.
Hassan Sheikh Mohamud alikuwa raisi wa Somalia mwezi Septemba mwaka huu.

No comments:

Post a Comment