Monday, December 10, 2012

BI KIDUDE ATUNUKIWA NISHANI NA RAISI KIKWETE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 51 YA UHURU WA TANZANIA BARA

Raisi Jakaya Mrisho Kikwete Jana katika maadhimisho ya Sherehe za Uhuru wa Tanzania bara amewatunukia nishani watu kutoka makundi mbalimbali ya jamii.
Mmoja wa waliotunukiwa nishani hizo ni Bi.fatma Baraka Khamisi "Bi Kidude" Nishani ya Sanaa na Michezo
Raisi J.K akimvisha nishani Bi Kidude.Picha kwa hisani ya Mchuzi Blog

No comments:

Post a Comment