Monday, December 31, 2012

MHESHIMIWA MNYIKA


Wakazi wa Kata ya GOBA: Tume ya Haki za Binadamu imetangaza/imenukuliwa kwenye vyombo vya habari leo kuwa imeanza kuchunguza na kuchukua hatua juu ya mashtaka niliyowasilisha kuhusu mgogoro wa toka mwaka 2007 unaokwamisha huduma ya MAJI katika mtaa wa Goba. Kwa upande wa Mtaa wa Kulangwa-Kata ya Goba tenki limeshajengwa, ujenzi wa miundombinu mingine unakaribia kuanza ili wananchi wapate maji kupi...tia mradi wa Madale Kisauke. Ili kuwa na usimamizi bora kuanzia hatua za awali fikeni leo (Desemba 30, 2012) kuanzia saa nane mchana , Mahali: Shule ya Kulangwa kutoa maoni kuhusu Katiba ya Jumuiya ya watumiaji Maji. Tume ya Haki za Binadamu a Utawala Bora ayo ikifika muipe ushirikiano tupate ufumbuzi wa kudumu. Pamoja na jumuiya za watumiaji wa maji na kamati za maji kama ufumbuzi wa mpito, suluhisho la kudumu ni Kata nzima ya GOBA kuhudumiwa moja kwa moja na DAWASA na DAWASCO kupata miundombinu inayoendana mijini kwa kuwa Goba si kijijini tena.
Hakika Tutafika!

No comments:

Post a Comment