Saturday, December 1, 2012

ATUMIA MATATU(DALADALA)NCHINI KENYA KUHAMASISHA KUPINGA MAAMBUKIZI YA UKIMWI

Mwathirika wa Virusi vya ukimwi Nchini Kenya anatumia daladala yake kuelemisha watu kujilida dhidi ya maambikizi ya Ukimwi.Bwana Virus kwa jina lake la utani yeye anaishi na virusi vya Ukimwi kwa miaka 9 sasa na amejaaliwa kupata watoto 4,Anashauri watu kupima ukimwi ili kujijua afya yako

No comments:

Post a Comment