Tuesday, December 4, 2012

KILIMANJARO STARTS YAWASUBIRI MSHINDI KATI YA UGANDA NA ETHIOPIA

Tanzania Bara(Kilimanjaro Stars)inamsubiri mshindi kati ya Uganda na Ethiopia ambao wanakipiga leo(06-12-2012).
Kilimanjaro stars ilifuzu kuingia nusu fainali jana baada ya kuigalagaza Rwanda kwa mabao 2-0,Mabao ya Amri Kiemba dakika ya 33 na John Bocco dakika ya 53 ndiyo yaliyoifanya Kilimanjaro Stars itinge nusu fainali

No comments:

Post a Comment