Tunapenda kuwajulisha na
kuwatangazia fursa za kushiriki katika program za vijana kwa mwaka 2013
katika nchi za Canada, Ireland, France, German, Kenya, Mozambique na
hapa Nchini. Waombaji wawe na umri usiozidi miaka 25 na wawe na elimu ya
kidato cha nne na kuendelea. Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 31
Januari 2013. Tafadhali wajulishe vijana wengi katika mtandao wako. Ni
vizuri sana wale walio tayari kutuma maombi mapema badala ya kusubiri
tarehe za mwisho.
Kwa Maelezo na Fomu za kujiunga nitumie Email yako:gmpollo@gmail.com au louisnobby@gmail.com
Natanguliza shukrani,
No comments:
Post a Comment