Regia Mtema Foundation imeandaa kumbukumbu ya mwaka
mmoja wa kifo cha Regia itakayofanyika siku ya jumatatu ya tarehe 14 Januari
2013 Peacock Hotel. Kutakuwa na mdahalo utakaoanza saa 9 alasiri na kufuatiwa
na hafla ya chakula cha usiku.
kwenye mdahalo kutakuwa na mada zifuatazo;
1. Nafasi ya kijana katika kuleta maendeleo na kuchochea demokrasia itatolewa
na Mh.January Y. Makamba
2. Historia ya Regia ( biography)
3. Mada kuhusu rushwa kutoka kwa TAKUKURU mkoa wa Kinondoni
4. Ulemavu sio kutoweza ( disability is not inability) itatolewa na mwenyekiti
CHAWATA Tunawakaribisha sana. Tunaomba yule mwenye kupenda kushiriki aseme kwa
maandalizi zaidi
kwenye mdahalo kutakuwa na mada zifuatazo;
1. Nafasi ya kijana katika kuleta maendeleo na kuchochea demokrasia itatolewa na Mh.January Y. Makamba
2. Historia ya Regia ( biography)
3. Mada kuhusu rushwa kutoka kwa TAKUKURU mkoa wa Kinondoni
4. Ulemavu sio kutoweza ( disability is not inability) itatolewa na mwenyekiti CHAWATA Tunawakaribisha sana. Tunaomba yule mwenye kupenda kushiriki aseme kwa maandalizi zaidi
No comments:
Post a Comment